Dakika 32 zilizopita Muda wa kusoma: Dakika 3 Kampuni ya Carix, mojawapo ya kampuni kubwa ambazo hutengeneza mipira ya kondomu, imetangaza kuwa itaongeza bei ya bidhaa hizo kwa 30% au zaidi iwapo vita vitaendelea nchini Iran. Kampuni hiyo iliopo nchini Malaysia, imesema vita vinavyoendelea Iran, vimefanya iwe vigumu kupata mali ghafi ya kutengeneza kondomu. Goh Mia Kat,